junior kaguo
Sunday, June 21, 2015
Thursday, June 18, 2015
Saturday, February 21, 2015
Stop albino killings"
Hv ndo tusemelikali imeshindwa kusaidia hawawezetu au tusemeje maana kilasiku tunaishia kulaani vibaya hatuoni jihtihada zamakusudi kwaajiri yakufanyamsako wahawa mbwa wanao umiza nduguzetu wasiwasi wangu nihuu wakimariza kwahawa watahamia kwanani? Isije ikawa kwako au kwangu kilasiku tunasikia nchiyaamani hiyo amani nikwajiri yachache hadisasa albino hana amani nani atamsaidia albino? ACHENI IMANI POTOFU albino kamawewe piana haki yakuishi jamani sto albino killings
Tuesday, December 30, 2014
Sunday, December 28, 2014
Tuzo Walizoshinda @VanessaMdee Na @diamondplatnumz Zilizofanyika Nigeria.
Mtangazaji/Msanii Vanessa Mdee na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’
wamewakilisha vizuri Tanzania kwa kushinda tuzo zingine kubwa Nigeria za
AFRIMA.
Vanessa ameshinda tuzo ya Best Female Artist in East Africa [Msanii bora wa kike Afrika Mashariki ] huku Diamond akishinda Tuzo Ya Best Male Artist in East Africa [ Msanii bora wa kiume Africa Mashariki] . Tuzo ya Diamond ilipokelewa na Peter Msechu ambaye pia alikuwa kwenye kuwania tuzo hizo.
Hongera kwao na Peter Msechu kwa kuwakilisha vizuri.
Vanessa ameshinda tuzo ya Best Female Artist in East Africa [Msanii bora wa kike Afrika Mashariki ] huku Diamond akishinda Tuzo Ya Best Male Artist in East Africa [ Msanii bora wa kiume Africa Mashariki] . Tuzo ya Diamond ilipokelewa na Peter Msechu ambaye pia alikuwa kwenye kuwania tuzo hizo.
Hongera kwao na Peter Msechu kwa kuwakilisha vizuri.
Subscribe to:
Posts (Atom)