Saturday, February 21, 2015

Hebu mcheki dogo chapombe


Stop albino killings"

Hv ndo tusemelikali imeshindwa kusaidia hawawezetu au tusemeje maana  kilasiku tunaishia kulaani vibaya hatuoni  jihtihada zamakusudi kwaajiri  yakufanyamsako wahawa mbwa wanao umiza nduguzetu  wasiwasi wangu nihuu wakimariza kwahawa watahamia kwanani? Isije ikawa kwako au kwangu kilasiku tunasikia nchiyaamani hiyo amani nikwajiri yachache   hadisasa albino hana amani nani atamsaidia albino?  ACHENI IMANI POTOFU albino kamawewe piana haki yakuishi jamani  sto albino killings